May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha burudani Chuo kikuu Dodoma.
For More Music Updates And News FIND US ON:
TWITTER: @KenyansMusic
FACEBOOK: Kenyans Music
No comments:
Post a Comment