Harmonize afunguka juu ya Wazazi wake Kumpokea mpenzi wake WOLPER ukweni.. - FARMERCIST 254

FARMERCIST 254

This site discusses farming issues in relation to Kenya with particular emphasis on poultry farming.

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday 11 June 2016

Harmonize afunguka juu ya Wazazi wake Kumpokea mpenzi wake WOLPER ukweni..

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amefunguka na kueleza wazo la kwenda kumtambulisha mpenzi wake Jacqueline Wolper kwa wazazi wake lilikujaje. 13257022_255519324807036_1630954995_n
Akiongea wiki hii, Harmozine amesema mpenzi wake huyo alionyesha nia ya kutaka kukujua ukweni na yeye akaona hakuna sababu ya kumbania.
“Mimi sijazaliwa pale Mtwara mjini, nimezaliwa Wilaya ya Tandahimba. Kwa hiyo wakati nataka kwenda kwenye show baby naye akataka kuja, nikaona pia ni kitu kizuri kwa kuwa anakuja pia kunisupport kwa sababu unajua uwepo wake ni kitu mihimu kwa kuwa ana mashabiki wengi, so nikivutio cha watu. Nikamwambia pia mimi natakiwa kwenda kijijini nikawasalimie wazazi, akasema kwanini tusiende wote, so tukaenda wote, familia yangu imemuona, imemjua na pia imempokea vizuri,” alisema Harmonize.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages