Akiongea kwenye kipindi cha Ala za Roho, kinachoruka kupitia Clouds FM, Nuh Mziwanda alisema, “Tumeshaanza kuongea na Tekno.”
“Jamaa ana uwezo mkubwa, anajua muziki, najisikia faraja kufanya naye kazi. Ni producer mkubwa kama mimi, ni msanii mkubwa mwenye kipaji na tunashabiana maana ni mkali wa melody na wote tunategemea melody,” aliongeza.
No comments:
Post a Comment