Punga maarufu Dar lapania kumpokonya Jux kwa Vanessa! - FARMERCIST 254

FARMERCIST 254

This site discusses farming issues in relation to Kenya with particular emphasis on poultry farming.

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday 11 June 2016

Punga maarufu Dar lapania kumpokonya Jux kwa Vanessa!

Vanessa Mdee ana ushindani mkali katika himaya yake ya mapenzi na Jux. Ushindani huo si kutoka kwa msichana mwenzake, bali kutoka kwa shoga maarufu Instagram, James Delicious.
13402156_966527616779431_1291599322_n
Punga huyo amepania kumpokonya Vee Money tonge mdomoni. Pamoja na kuambulia mvua ya matusi kutoka kwa watanzania wanaokerwa na tabia yake hiyo, James haoneshi kujali.
“MI MWENZENUUU.. NATABIA MOJAA.. NIKIMPENDA MTU LAZMAA NIMPATEEE. SO WALA MSIHANGAIKEE. KUNIHUKUMUUU… ET DHAMBI. DHAMBI MMEONA HIII TUU EEH.. VEEPE WALE WANAO DHIN. ???? VEEPE WALE WANAO UWAA??? VEEPE WALE WANAO BAKAA??? VEEPE WALEE WANAO SAGANA?? VEEPE WALEE WANAO SALIT NDOA ZAO??? VEEPE WALE WANAO LOGAA..??? VEEPE WALE WANO JIUZAA..????,” ameandika kwenye picha aliyoiunganisha na ya JUX.
13414272_171595229910132_1714975786_n
“ZAMBI ZIPO NYINGI SAANA.. SO WALA MSIZANII KAMA HAYO MANNENO YEEENU. YANAWEZA KUNIVUNJA. MOYO. YA SARI YANGU NNAYOIANZA. YA KUMUWEKAA KWENYE HIMAYA YANGU. HUYU NINAE MTAKAA.. NAMPEEENDA MPAKA NAJIIHIS KIZUNGU ZUNGUUUU…😂😂😂😂😂😂.. TUKANA N KUBLOCK…🔐🔐🔐🔏🔏🔏🔏🔏🔏.. NGOJA RAMADHAN IISHE,” ameongeza.

-Bongo 5

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages