Wema Sepetu kayaandika haya baada ya kuona muonekano mpya wa Chidi Benz. - FARMERCIST 254

FARMERCIST 254

This site discusses farming issues in relation to Kenya with particular emphasis on poultry farming.

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, 17 June 2016

Wema Sepetu kayaandika haya baada ya kuona muonekano mpya wa Chidi Benz.

Kwasasa Chidi Benz amekuwa kama dhahabu ambayo ilipitishwa kwenye moto nakung’aa upya baada ya kutoka rehabu ambapo alikuwa akifanyiwa matibabu ya kuachana na madawa ya kulevya. Wema Sepetu amekuwa miongoni mwa wasanii ambao wameupenda muonekano wa Chidi Benz nakuamua kuandika “The KingKong is Baaaaaaack…. Fanya kumfollow now @officialchidibeenz @officialchidibeenz @officialchidibeenz @officialchidibeenz @officialchidibeenz @officialchidibeenz …. Dah Kiboko yao….. Mwenyezi Mungu azidi kukupa ujasiri Komando wangu…. Hawakuwezi… Niamini mimi….. Okay guys please Repost this na tumuwezeshe kaka etu kupata followers wa kutosha… Something is Cooking…. Anakuja na Bonge moja la track…. Hakuna kinachoshindikana ukimtanguliza Allah kwakweli…. ” Ambapo pia aliweka link inayo unyesha account mpya ya Chidi Benz ili watu waweze ku mfolo.

For More Music Updates And News FIND US ON:

TWITTER: @MzukaKenya

FACEBOOK: MZUKA MEDIA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages