Belle 9 amekana kusaini na WCB na kudai kuwa alienda kutembelea kwenye ofisi zao kwakuwa Diamond ni msanii mkubwa Afrika na amefanikiwa kufika mbali kimuziki. “Diamond ni msanii mkubwa Afrika ila Watanzania tumekuwa wagumu kulikubali hilo,” amekiambia kipindi cha E News cha EATV. Belle 9 aliongeza kuwa alienda WCB kwa ajili ya kuwatembelea na kufanya nao mazoezi kwa sababu anamheshimu Babutale kwakuwa ndiye aliyemkutanisha na menejimenti yake aliyonayo. Katika hatua nyingine, muimbaji huyo amesema kuwa bado ana mkataba na menejimenti yake hivyo hawezi kusaini mkataba kwingine labda mpaka utakapomalizika. Na kuhusu WCB amesema anaweza akasaini nao endapo wakikubaliana na mambo yakienda sawa.
Post Top Ad
Saturday, 27 August 2016

Home
ENTERTAINMENT
Belle 9 Afunguka Kuhusu Tetesi Za Kujiunga WCB na Diamond Kuwa Msanii Mkubwa Afrika.
Belle 9 Afunguka Kuhusu Tetesi Za Kujiunga WCB na Diamond Kuwa Msanii Mkubwa Afrika.
Tags
# ENTERTAINMENT
Share This
About Farmercist
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Newer Article
Download Audio | Sam Misago Ft Quick Rocka - Vyura na Madanga | Mp3
Older Article
Siri ya Urembo wa Zari Yabainika, Kumbe Hufanya hivi !
20 yr old man marries a 40 yr old woman, Here are the (See Photos)
FarmercistDec 05, 2016LUO guy boycotts S£X with KIKUYU LADIES after RAILA was insulted on UHURU’s Kameme FM
FarmercistDec 05, 2016GIGY Money ‘Nawashauri Wadada Wasivae Nguo ya Ndani Kama Mimi’
FarmercistDec 02, 2016
Labels:
ENTERTAINMENT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment