Alikua Dancer Wa Dazlah Na Susumila Na Sasa Ameachia Wimbo Aliomshirikisha Mmoja Wao - FARMERCIST 254

FARMERCIST 254

This site discusses farming issues in relation to Kenya with particular emphasis on poultry farming.

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday 9 November 2016

Alikua Dancer Wa Dazlah Na Susumila Na Sasa Ameachia Wimbo Aliomshirikisha Mmoja Wao

Moddy Wa Leo ni member wa ‘Vunja Stage’, kundi la dancers ambao mwanzoni walikua wanafanya kazi na Dazlah alafu baadae wakajiunga na Wachawi International, ambayo ni team ya msanii Susumila. Kitu ambacho wengi hawajui ni kwamba hata kabla kua dancer, Moddy alikua ni msanii. Ana utunzi wa hali ya juu sana na sauti yake habahatishi. Kabla kundi hilo la ‘ Vunja Stage’ kuacha kufanya kazi na Dazlah, Moddy alikua ame,record wimbo huu ambao kwa sasa anajitayarisha kutayarisha video yake ambayo ataiachia mwanzoni mwa mwezi wa December. Kua wa kwanza kuskiliza wimbo huo wa Moddy aliomshirikisha boss wake wa zamani


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages